Takwimu zangu zinaonyesha miezi
michache mbele mambo yatakuwa
hivi!!!
MCHUNGAJI! Bwana asifiwee!!
WAUMINI! Ameenh!
MCHUNGAJI! Tuchukue lapTop, ipad, tablets, na cm zetu tufungue wakorito 13:13! pia washeni bluetoth ili mpokeemahubir kwa wanao tumia facebook, twitter na BBM, mnaweza kunifuatilia huko!
BAADA YA MUDA!
MCHUNGAJI! wapendwa sasa ni wakati wa sadaka! Mnaweza kumtolea MUNGU kwa Tigo-pesa, M-pesa, AirTel money MBARIKIWE SANA
!!!!
DIGITAL IYOOOOO!!!!