Sunday, January 6, 2013

MWAKA WA DIGITAL!??!!

Takwimu zangu zinaonyesha miezi 
michache mbele mambo yatakuwa
hivi!!!
MCHUNGAJI! Bwana asifiwee!!
WAUMINI! Ameenh!
MCHUNGAJI! Tuchukue lapTop, ipad, tablets, na cm zetu tufungue wakorito 13:13! pia washeni bluetoth ili mpokeemahubir kwa wanao tumia facebook, twitter na BBM, mnaweza kunifuatilia huko!
 BAADA YA MUDA!
 MCHUNGAJI! wapendwa sasa ni wakati wa sadaka! Mnaweza kumtolea MUNGU kwa Tigo-pesa, M-pesa, AirTel money MBARIKIWE SANA
     !!!!  
DIGITAL IYOOOOO!!!!    

No comments:

Post a Comment