Sunday, January 6, 2013

MWAKA WA DIGITAL!??!!

Takwimu zangu zinaonyesha miezi 
michache mbele mambo yatakuwa
hivi!!!
MCHUNGAJI! Bwana asifiwee!!
WAUMINI! Ameenh!
MCHUNGAJI! Tuchukue lapTop, ipad, tablets, na cm zetu tufungue wakorito 13:13! pia washeni bluetoth ili mpokeemahubir kwa wanao tumia facebook, twitter na BBM, mnaweza kunifuatilia huko!
 BAADA YA MUDA!
 MCHUNGAJI! wapendwa sasa ni wakati wa sadaka! Mnaweza kumtolea MUNGU kwa Tigo-pesa, M-pesa, AirTel money MBARIKIWE SANA
     !!!!  
DIGITAL IYOOOOO!!!!    

Thursday, January 3, 2013

Picha Kumi na Sita! Siku ya Mwaka Mpya.. @ usalama ftat makumbusho!

CHIPPO
Karibu Mtungi.
 Mama Ruiya Akiwagaiya Pipi watoto
Siku ya Mwaka Mpya
@usalama
Nyama Choma
Siku ya Mkesha wa mwaka mpya!
Devi na Kichere wanakata Nyama!
Mama Sofi! akifanya mchakato wa chakula. 
siki ya Mkesha.
Washua Wanakula Mtungi!
Mamdogo Husna!
Nyama Choma, Kuku, Mbuzi
Devi, Kweli(Bigg) Wakitaa cha pil!
Bata.

Wakitaa cha pil
Nachoma Nyama!

Pesa Ndo Kila Kitu!

Picha Mbili za Usalama Flat Party! 1/1/2013

                                                     Mzee Nyamsha Akifungu party!
                                                                    1/1/2013
                                                    Mama Jengo(kuria) Martha(nguo ya silver)
                                                                         1/1/2013







Usalama Flat Party! Siku Ya Mwaka Mpya 1/1/2013

Picha ya Siku!

Saturday, December 29, 2012

                                             DMM!

                              DAR-MPAKA-MORO! 

Jana katika soso fresh DAUDI WA KOTA alitoa ushuuda juu ya bata kwanda, bata kufika na bata kuludi!!! wakati daudi anatoa info kulikuwa na wadau mbalimbali studio uku wakiongozwa na the gossip cop him self. Mpaka dakika hizi raiya wapo batani!!!!


Mikausho mikali!!!!!

                             KAMA JUZI NA JANA!!!!

Unaweza sema ni masihara ila huu ndo ukweli wenyewe, pia unaweza sema blog ZIMEKUWA FASHION na wewe fungua YAKO!!!


Kwa jina unaweza kumuita WAKITAA CHA PIL a.k.a